Doyo Aendelea na Kampeni Muheza, Aahidi Kutatua Changamoto za Wananchi

Na Mwandishi wetu, Tanga MGOMBEA Urais kupitia Chama cha NLD, Doyo Hassan Doyo, ameendelea na kampeni zake kwa mfumo wa kijiji kwa kijiji...

Ziara ya Kampeni ya Mgombea Urais wa NLD Yatikisa Mkinga

Mwandishi wetu, Tanga MGOMBEA urais kupitia Chama cha NLD, ambaye pia ni Katibu Mkuu wa chama hicho, Doyo Hassan Doyo, leo ameendelea na ziara...

Dk.Nchimbi atinga Geita apokewa kwa kishindo Mbogwe

Na Mwandishi Wetu, Geita MGOMBEA Mwenza wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi akiwahutubia Wananchi wa kata ya Masumbwe,katika...

NLD yatoa dira ya uongozi 2025/30 kwenye uzinduzi wa kampeni Uchaguzi Mkuu

Na Mwandishi wetu, Tanga MGOMBEA urais kupitia Chama cha NLD, Doyo Hassan Doyo, akiwa kwenye uzinduzi wa kampeni leo Septemba, 4 2025 jijini Tanga...

Flatei atimka ACT arejea CCM kusaka kura za ushindi

Na Mwandishi wetu, Manyara ALIYEKUWA Mbunge wa Jimbo la Mbulu kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Flatei Maasai ametangaza kurejea CCM akitokea ACT Wazalendo ambako...

Wasira: kwa kazi kubwa aliyoifanya Dk.Samia anastahili kuchaguliwa aendelee kuongoza

Na Mwandishi Wetu,Babati MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Stephen Wasira amesema wakati wanamuombea kura mgombea urais kwa tiketi ya Chama Dk....

Dk. Mwinyi achukua fomu ya urais Zanzibar

Na Mwandishi wetu, Zanzibar Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi ambaye pia ni Mgombea wa Urais wa...

Doyo Kuzindua Kampeni za Urais wa NLD Septemba 4

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam CHAMA cha National League for Democracy (NLD) kinapenda kuwataarifu wananchi, na wanachama wake, vyombo vya habari kuwa Uzinduzi...

UVCCM Yazindua Kijani Ilani Chatbot kwa Ajili ya Vijana

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam MWENYEKITI wa Umoja wa Vijana (UVCCM) Taifa, Mohammed Ali Kawaida, (MCC) amezindua rasmi Kijani Ilani Chatbot, mfumo wa...

Jaji Mutungi: amewaasa wagombea kuepuka lugha za matusi katika kampeni za Uchaguzi Mkuu

Na Esther Mnyika, Dar es Salaam MSAJILI wa Vyama vya Siasa Nchini, Jaji Francis Mutungi amewaasa wagombea wa vyama vya siasa katika kuelekea kampeni za...