Doyo Aendelea na Kampeni Muheza, Aahidi Kutatua Changamoto za Wananchi
Na Mwandishi wetu, Tanga
MGOMBEA Urais kupitia Chama cha NLD, Doyo Hassan Doyo, ameendelea na kampeni zake kwa mfumo wa kijiji kwa kijiji...
Ziara ya Kampeni ya Mgombea Urais wa NLD Yatikisa Mkinga
Mwandishi wetu, Tanga
MGOMBEA urais kupitia Chama cha NLD, ambaye pia ni Katibu Mkuu wa chama hicho, Doyo Hassan Doyo, leo ameendelea na ziara...
Dk.Nchimbi atinga Geita apokewa kwa kishindo Mbogwe
Na Mwandishi Wetu, Geita
MGOMBEA Mwenza wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi akiwahutubia Wananchi wa kata ya Masumbwe,katika...
NLD yatoa dira ya uongozi 2025/30 kwenye uzinduzi wa kampeni Uchaguzi Mkuu
Na Mwandishi wetu, Tanga
MGOMBEA urais kupitia Chama cha NLD, Doyo Hassan Doyo, akiwa kwenye uzinduzi wa kampeni leo Septemba, 4 2025 jijini Tanga...
Flatei atimka ACT arejea CCM kusaka kura za ushindi
Na Mwandishi wetu, Manyara
ALIYEKUWA Mbunge wa Jimbo la Mbulu kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Flatei Maasai ametangaza kurejea CCM akitokea ACT Wazalendo ambako...
Wasira: kwa kazi kubwa aliyoifanya Dk.Samia anastahili kuchaguliwa aendelee kuongoza
Na Mwandishi Wetu,Babati
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Stephen Wasira amesema wakati wanamuombea kura mgombea urais kwa tiketi ya Chama Dk....
Dk. Mwinyi achukua fomu ya urais Zanzibar
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi ambaye pia ni Mgombea wa Urais wa...
Doyo Kuzindua Kampeni za Urais wa NLD Septemba 4
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
CHAMA cha National League for Democracy (NLD) kinapenda kuwataarifu wananchi, na wanachama wake, vyombo vya habari kuwa Uzinduzi...
UVCCM Yazindua Kijani Ilani Chatbot kwa Ajili ya Vijana
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Umoja wa Vijana (UVCCM) Taifa, Mohammed Ali Kawaida, (MCC) amezindua rasmi Kijani Ilani Chatbot, mfumo wa...
Jaji Mutungi: amewaasa wagombea kuepuka lugha za matusi katika kampeni za Uchaguzi Mkuu
Na Esther Mnyika, Dar es Salaam
MSAJILI wa Vyama vya Siasa Nchini, Jaji Francis Mutungi amewaasa wagombea wa vyama vya siasa katika kuelekea kampeni za...











