MENEJIMENTI YA MOI YAWAPA ZAWADI NA SHUKURANI WATUMISHI WAKE

Dar es Salaam MENEJIMENTI ya Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imetoa zawadi ya Sikukuu ya Krismas kwa watumishi wake 1052,...

WALINZI MUHIMBILI WAHIMIZWA KUZINGATIA MISINGI YA HUDUMA BORA KWA MTEJA

Dar es Salaam WALINZI wanaotoa huduma Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) wamekumbushwa kuzingatia misingi ya utoaji huduma bora wanapotekeleza majukumu yao kwa wateja wa...

WAZIRI MKUU ATEMBELEA KIWANDA CHA DAWA ZA BINADAMU, KIGAMBONI

Awataka kuwekeza katika ubora wa dawa Pia akagua utekelezaji wa maagizo yake ya uwekaji wa taa barabarani, Kigamboni Dar es Salaam WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo...

WASANII KUPIMA MOYO BURE JKCI

Dar es Salaam TAASISI ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kushirikiana na Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao kwenye kampeni ya kupima afya ya...

DK. MPOKI AIOMBA MENEJIMENTI YA MOI IANGALIE UWEZAKANO WA KUTOA HUDUMA SAA 24

Dar es Salaam MKURUGENZI Mtendaji mpya wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI), Balozi Dk. Mpoki Ulisubisya amesema katika kuendelea kuwapatia...

ZAHANATI MPYA YAFUNGULIWA LEO KIJIJI CHA NYABAENGERE KUONGEZA UTOAJI HUDUMA ZA AFTA MUSOMA VIJIJINI

Na Shomari Binda, Musoma ZAHANATI mpya imefunguliwa Disemba, 5 2024 kwenye Kijiji cha Nyabaengere Kata ya Musanja Jimbo la Musoma vijijini ili kuendelea kuwafikia karibu...

WAZIRI MKUU AWATAKA WAFAMASIA KUZINGATIA MAADILI

Dodoma WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wafamasia nchini watoe dawa kwa kuzingatia maadili ya taaluma yao na waache kutoa dawa kiholela ili kuimarisha ufanisi...

VETA YAJA NA UFUMBUZI WA UGONJWA WA MALARIA,FANGASI NA MKOJO MCHAFU(UTI)

Dar es salaam MAMLAKA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) Dar es Salaam imeendelea kutoa mafunzo kwa vitendo na ubunifu zaidi ili kuleta...

PROFESA JANABI AWAHAKIKISHIA WATUMISHI MUHIMBILI STAHIKI ZAO KWA WAKATI

Dar es Salaam MKURUGENZI Mtendaji Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Profesa Mohamed Janabi amesisitiza kuwa katika kipindi cha uongozi wake atahakikisha watumishi wanapata stahiki...

LILIANROSE AIBUKA KIDEDEA KATIBU MSAIDIZI BARAZA LA WAFANYAKAZI MUHIMBILI.

Dar es Salaam WAJUMBE wa Baraza la Wafanyakazi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Upanga na Mloganzila limemchagua Lilianrose Fedrick kuwa Katibu Msaidizi wa...