SERIKALI KUENDELEA KUTUNGA SERA RAFIKI KUWEZESHA USHIRIKI WA SEKTA BINAFSI KATIKA NISHATI SAFI YA...
📌 Rais Dk.Samia aitaka Wizara ya Nishati kuendelea kusimamia Mkakati wa Nishati Safi ya Kupikia
📌 Ataka umeme Vijijini uwe zaidi ya kuwasha taa na...
RAIS DK. MWINYI: ZANZIBAR ITAENDELEA KUSHIRIKIANA NA UMOJA WA ULAYA KATIKA NYANJA MBALIMBALI ZA...
Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Zanzibar itaendelea kushirikiana na Umoja wa Ulaya katika Nyanja mbalimbali...
INEC YATANGAZA KUANZA MCHAKATO WA KUGAWA MAJIMBO
Morogoro
TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetangaza kuanza kwa mchakato wa kuchunguza na kugawa au kubadili majina ya majimbo ya uchaguzi ambapo itapokea...
WALIMU SEMENI SHIDA ZENU, MSIJIONE DUNI – DK. BITEKO
📌 Serikali yatumia mabilioni kulipa madeni ya walimu
📌 Asema walimu ni nguzo ya Taifa
📌 Kliniki ya Walimu neema kwa walimu nchini
📌 CWT yapongezwa kwa...
RAIS DK. MWINYI: JAMII INAWAJIBU WA KUJIFUNZA UMUHIMU WA AMANI
Zanzabar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema jamii ina wajibu wa kujifunza umuhimu wa amani kupitia...
TEA YAAHIDI KUZINGATIA USHAURI KATIKA MAJUKUMU YAKE ILI KUFANIKISHA AZMA YA SERIKALI YA AWAMU...
Na Deborah Lemmubi-Dodoma.
MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), Dk. Erasmus Kipesha amesema kuwa Mamlaka hiyo itaendelea kuzingatia ushauri wakati wote wanapotekeleza majukumu...
WATUMISHI TUME YA MADINI WAJENGEWA UWEZO MATUMIZI YA MASHINE ZA KUPIMA MADINI YA METALI
Katibu Mtendaji awataka kuendelea kuchapa kazi kwa kujituma na uadilifu
Dodoma
KATIBU Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Ramadhani Lwamo amewataka watumishi wa Tume kufanya...
RAIS SAMIA ASIKIA KILIO CHA WANANCHI BARABARA YA SONI- BUMBULI-KOROGWE
Tanga
RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amesikia kilio cha wananchi wa Bumbuli, mkoani Tanga kuhusu ujenzi wa barabara ya Soni - Bumbuli - Korogwe (km...
RAIS MWINYI : AONGOZA DUA YA KUMUOMBEA HAYATI MZEE MWINYI
Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amewaongoza viongozi mbalimbali na wananchi katika Dua Maalum ya kumuombea aliyekuwa...
ENDELEZENI MAFUNZO YA DINI -MAJALIWA
▪️Asema ushiriki wa Rais Dkt. Samia kwenye tuzo hizo ni kielelezo cha namna anavyothamini na kuiishi Imani ya Dini ya Kiislam na uhifadhi wa...