Huduma za fidia kwa Wafanyakazi si suala la hiari-Majaliwa

▪️Asema Serikali itaendelea kuhakikisha kunakuwa na ulinzi wa haki na ustawi wa wafanyakazi. ▪️Atoa wito kwa waajiri kuzingatia matakwa ya Sheria ya Fidia kwa Wafanyakazi. ▪️Aitaka...

Nishati safi ya kupikia ni ajenda ya Dunia Wizara inatekeleza kwa vitendo-Dk.Kazungu

📌Apokea Magari Mawili kutoka Umoja wa Ulaya kwa ajili ya kuanza kampeni ya kutoa elimu ya uhamasishaji wa nishati safi ya kupikia nchi nzima 📌...

UDOM yaja na mashine ya teknolojia ya uuzaji vimiminika kidigitali

Na Esther Mnyika, Dar es Salaam CHUO Kikuu Dodoma (UDOM) kimekuja na mashine ya teknolojia ya uuzaji wa vimiminika kidigital ambapo imekuja...

Miradi ya Nishati Safi iache alama kwa wananchi-Kamishna Luoga

📌Afungua Mkutano wa Sita wa Kamati ya Uwekezaji miradi ya nishati safi ya kupikia 📌 Aishukuru EU na UNCDF kutekeleza ajenda ya nishati safi ya...

Serikali itaendelea kuimarisha mazingira ya ufanyaji biashara -Majaliwa

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali itaendelea kuimarisha mazingira ya ufanyaji biashara za huduma za kifedha...

DIB yahimiza wananchi kudai fidia zao kutoka Benki zilizofilisika

Na Mwandishi wetu ,Dar es Salaam BODI ya Bima ya Amana (DIB) imewahimiza wananchi waliokuwa wateja wa benki zilizofungwa kutokana na kufilisika kujitokeza ili...

Dk.Biteko asama nishati itakayozalishwa na Nyuklia kujumuishwa Gridi ya Taifa

📌 Asema ni nishati yenye unafuu wa gharama kulinganisha na vyanzo vingine vya nishati, pia isiyochafuzi kwa mazingira. 📌 Asisitiza nyuklia kwa ajili ya kuzalisha...

Twange afafanua changamoto iliyojitokeza katika mfumo wa Gridi ya Taifa

📌Asema umeme umerejea katika maeneo yote yaliyoathirika 📌Awaomba radhi watanzania kwa changamoto iliyojitokeza. Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam MKURUGENZI Mtendaji wa wa Shirika la umeme...

Waziri Mkuu aagana na Balozi wa Angola aliyemaliza muda wake nchini

▪️Ampongeza kwa kutumikia nchi yake kwa mafanikio makubwa ya kidiplomasia nchini.▪️Balozi de Oliveira asema Angola itaendelea kuwa mshirika wa karibu wa Tanzania. Na Mwandishi wetu,...

Wizara ya Nishati tembeeni kifua mbele mnafanya kazi nzuri-Dk. Biteko

📌Asema Nishati ni Sekta inayokua kwa kasi; anajivunia kufanya nayo kazi 📌Asema Rais Samia amekuwa mstari wa mbele kuiwezesha Sekta kusonga mbele 📌 Afunga rasmi Nishati...