SERIKALI INAENDELEA KUWAHUDUMIA WAATHIRIKA WA KIMBUNGA HIDAYA – MAJALIWA
Ataja hatua zilizochukuliwa na Serikali katika kurejesha hali.
Na Mwandishi wetu, Dodoma.
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali inaendelea kutoa misaada ya kibinadamu na...
TAWA WATOA ELIMU YA KUJIHAMI NA MAMBA NA KIBOKO SHULE YA SEKONDARI ZIMBWINI KIBITI
Na Mwandishi wetu, Pwani
WANAFUNZI wa shule ya sekondari Zimbwini iliyopo Kibiti Pwani wamepatiwa mafunzo maalum kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyama pori Tanzania...
RAIS DK. SAMIA AZINDUA MKAKATI WA MATUMIZI YA NISHATI SAFI, ATOA AGIZO HILI KWA...
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan ameitaka Wizara ya Nishati kukaa pamoja na wadau ili kubaini maeneo ambayo yakifanyiwa maboresho...
WADAU WA KILIMO WAIOMBA SERIKALI KUTOA ELIMU NA MITAJI KWA VIJANA.
Na Sophia Kingimali@Lajiji Digital
KATIKA kuendelea kuboresha sekta ya kilimo nchini na kuleta tija kwa wananchi Jukwaa la wadau wa kilimo wasio kuwa wa...
MAFUNZO YA KUWAENDELEZA WATAALAMU WA USANIFU, UHANDISI NA WAKADIRIAJI MAJENGO TANZANIA
Na Mwandishi wetu,Zanzibar
SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar zitaendelea kuweka mazingira mazuri kwa kuziimarisha Taasisi za...
KUTO KUSIMAMA KWENYE VIVUKO NI KUNACHANGIA AJALI
Na Mwandishi wetu, Pwani
MKUU wa Dawati la Elimu ya Usalama Barabarani Tanzania Kamishina Msaidizi wa Polisi, Michael Deceli amewataka madereva wa vyombo vya...
DK. KIJAJI ANATARAJIA KUWA MGENI RASMI SIKU YA MAADHIMISHO YA SIKU YA MILIKI UBUNIFU...
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
WAZIRI wa Viwanda na Biashara Dk.Ashatu Kijaji anatarajia kuwa mgeni rasmi siku ya maadhimisho ya siku ya miliki ubunifu Duniani...
DK. NDUMBARO AFANYA KIKAO NA KAMISHENI YA NGUMI ZA KULIPA
Na Mwandishi wetu, Dodoma
WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk. Damas Ndumbaro amefanya kikao na Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa nchini Mei,...
RC CHALAMILA APOKEA MWENGE WA UHURU 2024
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila leo Mei 08, 2024 amepokea Mwenge wa Uhuru kutoka Mkoa wa...
SERIKALI KUJENGA KITUO CHA KUPOZA UMEME NA SWITCHING STATION SONGWE- KAPINGA
📌 Lengo ni kuimarisha upatikanaji umeme mkoani Songwe
📌 Uboreshaji wa miundombinu ya umeme unaendelea
Na Mwandishi wetu, Dodoma
NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga...