BRELA YATOA GAWIO KWA SERIKALI KWA TAASISI ZA UMMA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan jana Juni, 11 2024, amepokea gawio la kiasi shilingi Bilioni Kumi na...
RAIS WA CHAMA CHA TAS ALILIA HUKUMU KALI KWA WANAOKUTWA NA VIUNGO NA MAUAJI...
Pwani
RAIS wa Chama cha watu wenye ualbino Tanzania (TAS) Godson Mollel aonyesha kushangazwa na Mahakama nchini kutowahi kutoa adhabu kali kwa watu wanaokutwa...
TARURA YAENDELEA NA UJENZI WA MITARO MIKUBWA YA MAJI MKOANI TABORA.
Tabora
WAKALA wa Barbara za Vijijini na Mijini (TARURA ) mkoani TABORA unatekeleza ujenzi wa mitaro mikubwa ya maji ili kuondoa kero kwa wananchi hasa...
YEYOTE ANAYETAKA KUMKERA AKANYAGIE UCHUMI:RAIS DK.SAMIA
Dar es Salaam
RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan mesema yoyote anayetaka kumkera amkanyagie uchumi ambao sasa umekuwa katika mageuzi makubwa.
Pia amesema mageuzi ya...
TAASISI YA MAMA ONGEA NA MWANAO YAWEKA TABASAMU KWA WATOTO WENYE UHITAJI KUWAPATI BASKELI...
Na Magrethy Katengu
TAASISI ya Ongea na Mwanao kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo wametoa Baskeli za 250 kwa watoto wenye mahitaji maalumu (Walemavu) 250...
WANANCHI KIBOSHO WAIOMBA SERIKALI KUWAJENGEA VIVUKO VYA KUDUMU
Na Ashrack Miraji Same Kilimanjaro
WANANCHI wa Kata ya Kibosho,wilayani Moshi Mkoa wa Kilimanjaro,wameungana na wadau wa maendeleo kushiriki katika ujenzi wa daraja linalounganisha...
PUMA ENERGY YATOA GAWIO LA SHILINGI BILIONI 12.2, RAIS DK. SAMIA APONGEZA
Dar es Salaam
KAMPUNI ya Mafuta ya Puma Tanzania imepongezwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kuweka mazingira Mazuri ya uwekezaji ambayo yamesababisha...
DK. NCHEMBA: UJENZI WA KITUO CHA FORODHA HUZINGATIA UCHUMI NA USALAMA
Na. Peter Haule, Dodoma
WAZIRI wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba amemshauri Mbunge wa Ngara, Ndaisaba George Ruhoro kushirikiana na Mamlaka husika ili kuangalia uwezekano wa...
RAIS DK.MWINYI AISHUKURU TAASISI YA AL MAZRUI
Zanzibar
RAIS Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi M Dk. Hussein Ali Mwinyi ameishukuru Taasisi ya Al Mazrui Charitable Organisation ya Abu...
BOT KUTOA MIONGOZO NA KANUNI MPYA KWA AJILI YA KURATIBU WATOA HUDUMA NDOGO ZA...
Na Esther Mnyika@Dar es Salaam
BENKI kuu ya Tanzania (BOT)ipo mbioni kutoa miongozo na kanuni mpya kwa ajili ya kuratibu watoa huduma ndogo za...












