Dk. Mpango Taasisi 762 zatumia nishati safi ya kupikia nchini
📌 Taasisi chini ya Wizara ya Nishati zqpewa tuzo kutambua mchango wao katika Gesi, Umeme na Nishati Jadidifu
Dodoma
MAKAMU wa Rais Dk. Philip Isdor...
Dk.Biteko aweka jiwe la msingi ujenzi wa kituo kikubwa cha gesi Afrika Mashariki
📌 Tanga kuwa Kitovu cha Nishati nchini
📌 Dkt. Biteko Asisitiza Ajira Kwa Wazawa
📌Kampeni ya Rais Samia ya Nishati Safi ya Kupikia Yavutia Wawekezaji
📌Matumizi ya...
Khamis: Ameitaka TASAC kuendelea kutoa elimu kwa wananchi
Dodoma
NAIBU Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Khamis Hamza Khamis amelitaka Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) kuendelea...
Majaliwa: TBS hakikisheni soko la Tanzania linakuwa na bidhaa bora
▪️Asisitiza Tanzania sio shimo la bidhaa zisizokuwa na ubora
▪️Ataka viwanda kuzalisha bidhaa bora zinazouzika ndani na nje ya nchi
Dodoma
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ameutaka...
Utendaji kazi wa Wizara na Nishati na Taasisi zake waimrika kwa zaidi ya...
📌 Dk. Biteko apongeza; akumbusha Watendaji umuhimu wa tathmini katika kuboresha utendaji kazi
📌 Ataka TANESCO kuendelea kuboresha miundombinu ya umeme; kubuni vyanzo vipya
📌 Aziagiza...
LATRA yaja na mfumo mpya wa VTS wa kufuatilia mwenendo wa daladala
Dodoma
MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imeanzisha mfumo mpya wa ufuatiliaji wa mwenendo wa daladala nchini zikiwemo zinazokatisha ruti kinyume na leseni zao.
Pia...
Majaliwa: Wekeni vituo vya kuchakata taka katika maeneo yenu.
▪️Ataka jamii na vijana washirikishwe kwenye biashara ya kaboni
Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amezitaka halmashauri zote nchini zihakikishe kuwa zinaweka vituo vya...
Vitongoji 284 Arumeru Mashariki vyafikiwa na umeme
📌 Ni kati ya Vitongoji 330 vya Jimbo la Arumeru Mashariki.
📌Kapinga asema upelekaji umeme unafanyika kwa awamu kulingana na upatikanaji wa fedha
Dodoma
NAIBU Waziri...
TASAC yatoa elimu ya utunzaji mazingira Dodoma
Dodoma
SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) leo Juni, 2 2025 limetoa elimu ya utunzaji wa mazingira majini kwa wadau waliotembelea banda...
Aweso:Amewataka Watanzania kuendelea kutunza mazingira na vyanzo vya maji
Dodoma
WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso amewataka Watanzania kuendelea kutunza mazingira pamoja na kuendeleza vyanzo vya maji ili kuhakikisha upatikanaji endelevu wa maji na uzalishaji...