Tanzania Yatajwa Kitovu cha Ushirikiano Mpya kati ya Afrika na Singapore
Na Mwandishi wetu
TANZANIA imewekwa katika nafasi ya kimkakati kunufaika na ushirikiano mpya kati ya Afrika na Singapore, hasa kutokana na rasilimali zake, soko...
Serikali Yasistiza Ushirikiano na Sekta Binafsi Katika Utekelezaji wa ASDP II
Na Mwandishi wetu , Dodoma
SERIKALI imesisitiza umuhimu wa ushirikiano wa karibu kati ya sekta ya umma na sekta binafsi katika utekelezaji wa Programu...
Waziri Mkuu alipongeza jeshi la Magereza urasimishaji ujuzi kwa wafungwa
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amelipongeza Jeshi la Magereza Tanzania kwa kufanya urasimishaji wa ujuzi wanaoupata wafungwa kupitia VETA...
Ahadi ya serikali kufikisha umeme wa gridi Kagera yatekelezwa
📌 Dkt.Biteko ashuhudia utiaji saini mikataba itakayowezesha Wilaya zote Kagera kupata umeme wa Gridi
📌 Awali umeme mwingi ulikuwa ukitoka nchini Uganda hivyo kufanya Mkoa...
Majaliwa: elimu ya watu wazima ni zana ya maendeleo endelevu.
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema elimu ya watu wazima sio tu elimu ya masomo ya kawaida, bali ni...
Tanzania kuwa kinara wa utoaji wa huduma za kimaabara Afrika Mashariki na Kati
▪️Waziri Mavunde aweka jiwe la Msingi wa Ujenzi wa Maabara ya kisasa
▪️Ni maabara kubwa ya uchunguzi wa sampuli za madini Afrika Mashariki
▪️Kugharimu Tsh Bilioni...
Lukuvi atoa maagizo ya Rais Dk. Samia ajali ya mgodi Nyandolwa
Na Mwandishi wetu, Shinyanga
WAZIRI wa nchi Ofisi ya waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge William Lukuvi akimwakilisha Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ametoa...
Bodi ya Bima ya Amana yapata Mkurugenzi Mkuu
Na Mwandishi wetu
BODI ya Wakurugenzi ya Bodi ya Bima ya Amana (DIB) imemteua Bw. Isack Nikodem Kihwili kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya...
Tuwawezeshe wafanyakazi kukabiliana na mabadiliko ya teknolojia _Majaliwa
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa vyama vya wafanyakazi barani afrika kuweka mikakati ya kukabiliana na mabadiliko ya...
Serikali kugharamia mazishi ya waliofariki katika ajali ya mgodi Nyandolwa
Na Mwandishi wetu,Shinyanga
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge na Uratibu, William Lukuvi, amemfikishia Rais Dk. Samia Suluhu Hassan,...












