Samia: Tusigwajimanize CCM, vikao vichuje wagombea kwa haki na uadilifu

Na Esther Mnyika, Dodoma MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, ametoa wito mzito...

Hemed: SMZ imetekeleza Ilani ya CCM kwa kishindo

*Dk Mwinyi ameweka alama ya kipekee Zanzibar Na Esther Mnyika, Lajiji-Dodoma Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar,...

Idadi ya wananchama CCM yavuka milioni 13, yafanya mabadiliko ya Katiba kuendana na teknolojia

Na Esther Mnyika, Dodoma Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimepokea jumla ya wanachama wapya 13,000,670 hadi kufikia Mei 29, 2025, ikiwa ni ongezeko kubwa linaloashiria kuendelea...

Kapinga ataja vigezo vya ziada upelekaji umeme Vitongojini

📌 Lengo ni kuhakikisha kila Jimbo linakuwa na vitongoji vingi vilivyofikiwa na umeme 📌 Vinahusisha mahitaji ya kiuchumi na Kijamii, ukubwa wa Jimbo na Kitongoji 📌...

Dk. Samia: CCM itazindua Ilani mpya ya Uchaguzi kesho

Na Esther Mnyika, Dodoma Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amesema chama hicho...

Dk.Biteko akutana na Mtendaji Mkuu wa Puma Duniani

📌Tanzania na PUMA kuimarisha ushirikiano 📌PUMA kuendelea kuwekeza zaidi Tanzania Dodoma NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amekutana na kufanya mazungumzo na...

Mitaa 58 Halmashauri ya Mji wa Tarime imefikiwa na umeme-Kapinga

📌 Ni kati ya mitaa 81 ya Halmashauri ya Mji wa Tarime 📌 Asema kazi ya kupeleka umeme vitongojini ni endelevu Dodoma NAIBU Waziri wa Nishati,...

Rais Samia anataka Taifa lenye upendo na maendeleo

📌Dk. Biteko awaasa Watanzania kutogawanyika na kuendelea kuwa wamoja 📌 Awapongeza CCT kwa kuendelea kushirikiana 📌 Asema Serikali inathamini mchango wa CCT kwa maendeleo ya Taifa Mwanza...

Dk.Biteko awataka wazazi kuvumiliani kutunza familia zao

📌Asisitiza wazazi kutenga muda wa kuwa na watoto wao 📌Asema familia imara ni msingi wa dunia imara 📌 Mashirika, Wadau wa Maendeleo waipongeza Serikali kuimarisha malezi...

Waziri Mkuu kumwakilisha Rais Dk.Samia maonesho ya World Expo 2025 Osaka Japan

Japan WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa leo Mei 23, 2025 amewasili Osaka nchini Japan kumwakilisha Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kwenye maonesho ya kimataifa ya...