BILIONI 60 KULIPA FIDIA WANANCHI WALIOPITIWA MRADI WA RUHUDJI NA RUMAKALl
📌Serikali ya Awamu ya Sita yapongezwa kupelekea Umeme Maeneo Korofi mwambao wa ziwa Nyasa
*📌 Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini yaipongeza REA na...
WAZIRI MKUU AZINDUA MSIKITI WA NUURIL HIKMA.
▪️Awataka waumini kuutunza msikiti huo
▪️Atoa wito kwa viongozi wa dini kuliombea Taifa na kukemea maovu
Dar es Salaam WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Machi 14,...
KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YARIDHISHWA KASI UJENZI DARAJA LA PANGANI.
Tanga
MWENYEKITI wa Kamati hiyo, Seleman Moshi Kakoso amesema kazi iliyofanywa kwenye daraja hilo lenye urefu wa meta 525 ni kubwa hivyo Wizara ya...
RAIS DK. MWINYI: SERIKALI ITAZIFANYIA KAZI CHANGAMOTO ZA KIJAMII.
Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi amewahakikishia Wananchi wa Mpapa kuwa Serikali itazifanyia kazi changamoto za kijamii ziliomo katika kijiji...
UMEME WA JOTOARDHI KUUNGANISHWA KWENYE GRIDI YA TAIFA IFIKAPO 2030 – MRAMBA
📌 Mikoa 16 kunufaika na Nishati ya Jotoardhi
📌 SEforALL yatakiwa kuwekeza katika utafiti na ubunifu
Barbados
TANZANIA imelenga kuunganisha nishati ya jotoardhi kwenye gridi ya...
UBORESHAJI MIUNDOMBINU TANGA UWE JUMUISHI-KAKOSO
Tanga
MWENYEKITI wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Seleman Moshi Kakoso amezungumzia umuhimu wa ujenzi wa miundombinu mkoani Tanga kuwa jumuishi ili kuleta...
MAJALIWA: SERIKALI ITAENDELEZA MIKAKATI YA KUKUZA SEKTA YA MIFUGO
▪️Asisitiza kuwa mifugo ni uchumi, ajira na biashara ▪️Atoa wito kwa wakulima na wafugaji wawe wamoja
Tabora WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inaendelea kuweka...
TUME YA HAKI ZA BINADAMU INACHUNGUZA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA KATIKA VIWANDA...
Pwani
TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imeanza ziara ya wiki mbili wakifanya uchunguzi wa kero na malalamiko ya wafanyakazi na...
KAPINGA AZINDUA NAMBA YA BURE YA HUDUMA KWA WATEJA WA TANESCO
📌Awapongeza TANESCO kutekeleza agizo la Mhe. Dk. Biteko kuwataka kuanzisha namba ya huduma kwa wateja bure
📌Asema namba hii ya 180 ya bure kwa wateja...
WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI MAKOREMO-MGONGORO
Tabora
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa leo Machi 12, 2025 ameweka jiwe la msingi la Mradi wa Upanuzi wa Mtandao wa Majisafi ya Ziwa Victoria...