DK. BITEKO AWATAKA WANAWAKE KUWA MABALOZI WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

πŸ“Œ Serikali kuwezesha Sera, Sheria kwa wawekezaji wa Nishati Safi ya kupikia πŸ“Œ Ahamasisha matumizi ya Nishati ya Safi ya kupikia nchini πŸ“ŒAmpongeza Mkurugenzi Mtendaji TANESCO...

AFRIKA TUNAYAPA KIPAUMBLE MATUMIZI YA NISHATI SAFI ILI KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIA NCHI-DK.BITEKO

πŸ“Œ Asema Sera na Sheria zinazowekwa zinahimiza matumizi ya Nishati Safi πŸ“Œ Afungua Mkutano wa Awali EAPCE'25 πŸ“Œ Ataka utumike kujadili na kuweka mipango itakayowezesha matumizi...

TANZANIA YAPOKEA FARU WEUPE KUTOKA AFRIKA KUSINI

β– Lengo ni kuimarisha uhifadhi nchini Na Happiness Shayo - Ngorongoro SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mara ya...

KUELEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

πŸ“Œ Wizara ya Nishati yajivunia jitihada katika kulinda haki, usawa na kuwawezesha wanawake πŸ“Œ Kapinga asema lengo ni kuboresha ustawi wa mwanamke na kuongeza thamani...

TPDC YARIDHISHWA NA MAENDELEO YA MRADI WA KITUO MAMA CHA KUJAZAJI GESI CHA MLIMANI

Dar es Salaam MWaKILISHI wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Paul Makanza, ameongoza ukaguzi wa maendeleo ya mradi...

RC KANALI MTAMBI AONGOZA HAFLA YA JESHI LA POLISI UTOAJI TUZO KWA ASKARI NA...

Na Shomari Binda-Musoma MKUU wa mkoa wa Mara, Kanali Evans Mtambi ameongoza hafla ya Polisi Family Day mkoa wa Mara iliyoambatana na utoaji tuzo kwa...

VIJANA WA KIKE FEDHA MNAZOPATA MZITUMIE PIA KATIKA UWEKEZAJI- MKURUGENZI UTAWALA NISHATI

πŸ“Œ Asema inaongeza kujiamini πŸ“Œ Asema Wizara ya Nishati inaiishi kaulimbiu ya Siku ya Wanawake Duniani 2025 Dar es Salaam MKURUGENZI wa Utawala na Rasilimali Watu...

WAHIFADHI WANAWAKE WA TAWA WATEMBELEA PORI LA AKIBA WAMI-MBIKI

πŸ“ Wahamasisha utalii wa ndani Morogoro. KUELEKEA maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake , wahifadhi wanawake wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapaori Tanzania (TAWA) wametembelea...

RAIS DK.SAMIA AIAGIZA WIZARA YA NISHATI KUPITIA MAPITIO YA SERA YA USAFIRISHAJI MAFUTA

πŸ“Œ Lengo ni kuyafanya makampuni ya usambazaji mafuta upande wa Kaskazini kutumia Bandari ya Tanga. πŸ“Œ Asema Serikali imeweka mazingira mazuri ya uwekezaji nchini. πŸ“ŒKapinga asema...

WAZAZI KUHIMIZA WATOTO WAPENDE ELIMU NA KUFANYIA KAZI UJUZI WALIOJIFUNZA

PWANI AFISA Mkuu Mtaala Mwandamizi wa Taasisi ya Elimu Tanzania(TET), Dk. Joyce Kahambe amewasihi wazazi waendelee kuwahimiza watoto wapende elimu na kufanyia kazi ujuzi wanaojifunza...