NIDA KUSITISHA RASMI MATUMIZI YA NINs MEI MOSI

Dar es Salaam MAMLAKA ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imetangaza kuanzia  Mei mosi 2025 itasitisha rasmi matumizi ya Namba ya Utambulisho wa Taifa (NINs)...

AWAMU YA PILI UBORESHAJI, UWEKAJI WAZI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA KUANZA MEI

DodomaUBORESHAJI wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura awamu ya pili utafanyika sambamba na uwekaji wazi wa Daftari la Awali la Wapiga Kura kuanzia...

NACHINGWEA YAANZA KUNUFAIKA NA VITUO VYA KUDHIBITI WANYAMAPORI WAHARIBIFU

Lindi WANANCHI wa Kijiji cha Nditi, Wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi, wameanza kuona manufaa ya vituo vya Askari wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania...

MKURUGENZI MTENDAJI WA TANESCO AFRIKA DUNIA KWA AJALI

Mara MKURUGENZI Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Aprili 13, 2025 katika ajali...

FEDHA ZILIZOKUSANYWA BUNGE MARATHONI ZINATUMIKA IPASAVYO-MAJALIWA

Dodoma WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amewahakikishia Watanzania fedha zilizokusanywa katika mbio za hisani za Bunge zitakwenda kutumika kama ilivyokusudiwa. Ameyasema hayo leo Jumamosi, Aprili 12,...

KAMATI ZA BUNGE ZAPEWA MAFUNZO NA OFISI YA MSAJILI HAZINA

Dodoma OFISI ya Msajili wa Hazina imeendesha mafunzo kwa Kamati tatu za Kudumu za Bunge kuhusu Mageuzi, Mafanikio, Mikakati na Mwelekeo wa Ofisi hiyo. Mafunzo hayo...

MABALOZI KUTANGAZA UTALII WA TANZANIA KIMATAIFA

📌Ziara ya utalii ya Mabalozi kuchochea ushirikiano wa Tanzania na mataifa mengine Dar es Salaam NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

SERIKALI INAENDELEA NA UKARABATI WA MIUNDOMBINU YA UMEME – KAPINGA

📌 Lengo ni kuondokana na changamoto ya kukatika kwa umeme 📌 Ujenzi wa kituo cha kupokea na kupoza umeme cha Kilindi, Tanga waffikia asilimia 35. 📌Bilioni...

ECOP YAKABIDHI CHETI CHA HAKI KIMILA YA UMILIKI WA ARDHI KWA JAMII YA...

Kiteto MRADI wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), umekabidhi cheti cha haki ya kimila ya umiliki ya ardhi ya kimila ya umiliki...

VITONGOJI 9000 KUSAMBAZIWA UMEME MWAKA 2025/2026- KAPINGA

📌 Majimbo yaendelea kufaidika na mradi wa umeme wa Vitongoji 15. Dodoma NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini...