DC SHEKIMWERI:Wizara ya Katiba na Sheria kusaidia kupunguza migogoro Ardhi
Na Mwandishi wetu,Dodoma
MKUU wa Wilaya ya Dodoma, Jabiri Shekimweri, amesema kuwa ushiriki wa Wizara ya Katiba na Sheria katika Maonesho ya Wakulima (Nanenane)...
Machali ahamasisha wananchi kujitokeza kupata ujuzi VETA
Na Esther Mnyika,Dodoma
MKUU wa Wilaya ya Mkalama, Moses Machali ametoa wito kwa wananchi kujitokeza kwa wingi kupata mafunzo ya ujuzi yanayotolewa na Mamlaka...
Mhandisi Mramba afungua mafunzo ya teknolojia ya nishati jua kwa wataalam
📌 Yanahusu usanifu, utengenezaji, ufungaji mifumo ya Nishati Jua na matumizi yake
📌 Asema mafunzo yanalenga kuendeleza matumizi ya nishati jadidifu kama ilivyoelekezwa katika Dira...
Tanzanian nchi ya kwanza duniani kuleta teknolojia ya DNA kwenye sekta ya kilimo
Na Esther Mnyika , Dodoma
TANZANIA imekuwa nchi ya kwanza duniani kuingiza teknolojia mpya ya Vipimo vya Vinasaba (DNA) katika sekta ya...
Almasi: Biashara ya njiwa wa Mapambo ni fursa
Na Mwandishi wetu, Dodoma
MFANYABIASHARA wa Njiwa wa Mapambo Nchini, Abdulaziz Almasi amawataka watanzania kuingia kwenye biashara hiyo kwa sababu kuna fursa mbalimbali.
Hayo...
UDSM kina mchango mkubwa katika maendeleo ya sayansi na teknolojia nchini
NA Esther Mnyika, Dodoma
MKUU wa Wilaya ya Mkalama, Moses Machali, amepongeza Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kwa mchango wake mkubwa...
EACOP kurejesha tabasamu kwa watoto wagonjwa wa moyo
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam
MRADI wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) umetoa mchango wa shilingi milioni 100 kwa ajili ya...
Wizara ya Nishati endeleeni kusimamia ufanisi wa miradi ya nishati-Ded Mkalama
Na Mwandishi wetu, Dodoma
MKURUGENZI wa Wilaya ya Mkalama, Mkoani Singida, Asia Juma Messos ametoa wito kwa Wizara ya Nishati kuendelea kusimamia vyema...
Dc Dodoma atoa wito ushirikiano katika elimu ya usalama barabarani
Na Amani Nsello- Dodoma
MKUU wa Wilaya ya Dodoma, Alhaj Jabir Shekimweri ametembelea banda la Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI)...
DIB yatakiwa kuongeza elimu kwa umma kuhusu majukumu yake
Na Mwandishi wetu, Dodoma
MKUU wa Wilaya ya Singida, Godwin Gondwe, ameitaka Bodi ya Bima ya Amana (DIB) kuongeza jitihada za kutoa...