TASAC yatoa elimu ya utunzaji mazingira Dodoma
Dodoma
SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) leo Juni, 2 2025 limetoa elimu ya utunzaji wa mazingira majini kwa wadau waliotembelea banda...
Aweso:Amewataka Watanzania kuendelea kutunza mazingira na vyanzo vya maji
Dodoma
WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso amewataka Watanzania kuendelea kutunza mazingira pamoja na kuendeleza vyanzo vya maji ili kuhakikisha upatikanaji endelevu wa maji na uzalishaji...
Samia: Tusigwajimanize CCM, vikao vichuje wagombea kwa haki na uadilifu
Na Esther Mnyika, Dodoma
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, ametoa wito mzito...
Hemed: SMZ imetekeleza Ilani ya CCM kwa kishindo
*Dk Mwinyi ameweka alama ya kipekee Zanzibar
Na Esther Mnyika, Lajiji-Dodoma
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar,...
Idadi ya wananchama CCM yavuka milioni 13, yafanya mabadiliko ya Katiba kuendana na teknolojia
Na Esther Mnyika, Dodoma
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimepokea jumla ya wanachama wapya 13,000,670 hadi kufikia Mei 29, 2025, ikiwa ni ongezeko kubwa linaloashiria kuendelea...
Kapinga ataja vigezo vya ziada upelekaji umeme Vitongojini
π Lengo ni kuhakikisha kila Jimbo linakuwa na vitongoji vingi vilivyofikiwa na umeme
π Vinahusisha mahitaji ya kiuchumi na Kijamii, ukubwa wa Jimbo na Kitongoji
π...
Dk. Samia: CCM itazindua Ilani mpya ya Uchaguzi kesho
Na Esther Mnyika, Dodoma
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amesema chama hicho...
Dk.Biteko akutana na Mtendaji Mkuu wa Puma Duniani
πTanzania na PUMA kuimarisha ushirikiano
πPUMA kuendelea kuwekeza zaidi Tanzania
Dodoma
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amekutana na kufanya mazungumzo na...
Mitaa 58 Halmashauri ya Mji wa Tarime imefikiwa na umeme-Kapinga
π Ni kati ya mitaa 81 ya Halmashauri ya Mji wa Tarime
π Asema kazi ya kupeleka umeme vitongojini ni endelevu
Dodoma
NAIBU Waziri wa Nishati,...
Rais Samia anataka Taifa lenye upendo na maendeleo
πDk. Biteko awaasa Watanzania kutogawanyika na kuendelea kuwa wamoja
π Awapongeza CCT kwa kuendelea kushirikiana
π Asema Serikali inathamini mchango wa CCT kwa maendeleo ya Taifa
Mwanza...