MERICA yataka Jumuiya za ndani kuendelea kulinda amani na mshikamano wa kitaifa

Na Esther Mnyika,Dar es Salaam KITUO cha Wanahabari Watetezi wa Rasilimali na Taarifa (MECIRA) kimehimiza jumuiya za ndani kuendelea kulinda amani mshikamano wa...

Dk. Kusiluka awataka Maafisa Habari kuzingatia maadili na weledi ili kulinda maslahi ya Taifa

Na Esther Mnyika, Dar es Salaam KATIBU Mkuu Kiongozi Balozi Dk. Moses Kusiluka amewataka Maafisa Habari wa Serikali kuzingatia weledi, maadili na uzalendo katika...

Dk. Nchimbi aongoza waombolezaji katika mazishi ya Marehemu Jenista Mhagama

Na Mwandishi Wetu, Ruvuma MAKAMU wa Rais wa Jam huri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi amewaongoza waombolezaji kwenye Mazishi ya...

PBPA yafungua zabuni uagizaji mafuta kwa mwezi Februari 2026 jijini Dar es Salaam

Na Mwandishi Wetu- Dar es Salaam WAKALA ya Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) leo, Desemba 16, 2025, imetekeleza zoezi la ufunguzi wa zabuni za uagizaji...

Dk. Mwigulu: Tutamuenzi kwa vitendo Marehemu Jenista

Na Mwandishi wetu,Ruvuma WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itayaendeleza mambo yote mema yaliyofanywa na aliyekuwa mbunge wa Peramiho mkoani Ruvuma, Marehemu Jenista...

Waziri Mkuu: Watanzania tunzeni akiba ya chakula

Ahimiza matumizi ya mbolea na mbegu za mazao ya muda mfupi Na Mwandishi wetu, Dodoma WAZIRI Mkuu Dk. Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania watunze akiba ya...

Wizara ya Utumishi inaandaa muswada wa sheria mpya kuwajibisha watumishi wanaojihusisha rushwa

Na Esther Mnyika, Dar es Salaam WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete amesema Wizara...

Mradi wa upanuzi wa kituo cha kupokea na kupoza umeme cha Kinyerezi I Extension...

📌 Utaimarisha upatikanaji wa umeme Mbagala na Gongo la Mboto 📌 Majaribio yameanza; Shukurani kwa Rais Samia kwa uwekezaji mkubwa Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam...

Dk.Mwigulu: Fanyeni mapitio ya tamko la mali na madeni

Ataka maeneo yaliyokithiri kwa rushwa yapewe kipaumbele Na Mwandishi wetu, Dodoma WAZIRI Mkuu Dk. Mwigulu Nchemba amesema ni lazima yafanyike mapitio ya haraka kwenye tamko...

Miradi ya kilimo yatakiwa kumkomboa mkulima

Na Mwandishi wetu, Dodoma WAZIRI wa Kilimo, Daniel Chongolo ameitaka miradi ya kilimo ikiwemo miradi ya umwagiliaji kuongeza tija na uzalishaji wa mazao ili...