CCM yatangaza majina ya wagombea Ubunge mchakato wavunja rekodi-Makalla

Na Mwandishi wetu, Dodoma BAADA ya kusubiriwa kwa hamu kwa muda mrefu, Chama Cha Mapinduzi (CCM) hatimaye kimetangaza rasmi majina ya wagombea waliopitishwa kuwania...

Kwa asilimia 99.8 wajumbe wameridhia marekebisho madogo ya Katiba ya CCM

Na Mwandishi wetu, Dodoma CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kikiongozwa na Mwenyekiti wake Dk. Samia Suluhu Hassan, kimepitisha kwa kishindo marekebisho ya Katiba yake ya...

Katibu Mkuu wa NLD Ahudhuria Uzinduzi wa Ratiba ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025

Na Mwandishi wetu, Dodoma KATIBU Mkuu wa Chama cha National League for Democracy (NLD), Doyo Hassan Doyo, ameungana na viongozi wa vyama mbalimbali vya...

Uteuzi wa wagombea CCM kufanyika Julai, 28

Na Mwandishi wetu, Dodoma KATIBU Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema maandalizi ya mchakato wa uchaguzi ndani...

Watiania 1616 wajitokeza NLD Ubunge na Udiwani

Na Mwandishi Wetu, TANGA CHAMA cha Nation League for Democracy (NLD) kimetangaza idadi ya watia kwenye nafasi za Ubunge na Udiwani kwaajili ya kuomba ridhaa...

Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imetoa rai kwa wananchi kujitokeza sabasaba ...

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini imetoa rai kwa wananchi kujitokeza kwenye maonesho ya 49...

Dk.Njama Kuwania Jimbo la Kibamba

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam MTUMISHI wa Idara ya Afya katika Manispaa ya Ubungo jijini Dar es Salaam, Dk. Ally Njama, amejitokeza kuchukua...

Dk. Walter achukua fomu kuwania jimbo la Kibamba

Sophia Kingimali, Dar es Salaam KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk.Walter Nnko, amejitokeza kuchukua fomu ya kuwania ubunge katika Jimbo la Kibamba. Akizungumza na...

Sekreterieti ya CCM ikitathimini uchukuaji wa fomu

Na Mwandishi wetu SEKRETARIETI ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, ikiongozwa na Mwenyekiti wake, ambaye pia ni Katibu Mkuu wa CCM,...

Asenga leo Juni,28 achukua fomu ya kuwani Ubunge kipindi cha pili

Na Mwandishi wetu, Morogoro MBUNGE wa Jimbo la Kilombero kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abubakar Asenga leo Jumamosi Juni 28, 2025 amechukua fomu...