RAIS DK.MWINYI: WAUMINI WA DINI YA KIISLAMU KUENDELEA KUWASAIDIA MASIKINI,WAJANE NA YATIMA KATIKA JAMII

Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaji Dk. Hussein Ali Mwinyi amewasisitiza Waumini wa Dini ya Kiislamu kuweka Mkazo wa...

TANZANIA YAJIVUNIA USHIRIKIANO KATI YAKE NA KUWAIT

Dar es Salaam SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inajivunia ushirikiano wa kidiplomasia uliopo kati yake na nchi ya Kuwait katika biashara, uchumi na...

RAIS MWINYI:SMZ ITAENDELEA KUWEKA MAZINGIRA WEZESHI KWENYE BIMA.

Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt,Hussein Ali Mwinyi ameeleza kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa Kushirikiana na Mamlaka...

OPARESHENI YA KUWADHIBITI FISI SIMIYU YAONESHA MAFANIKIO MAKUBWA

*Zaidi ya Fisi 16 wavunwa. Simiyu. OPARESHENI maalumu ya kuwadhibiti wanyamapori wakali na waharibifu aina ya fisi waliokuwa wanaleta taharuki na madhara Kwa jamii inayoendelea Mkoani...

PROFESA MKENDA: TAEC KUSIMAMIA KWA UMAKINI MASOMO YA ELIMU YA JUU YA...

Dar es Salaam WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda ameitaka bodi mpya ya Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) kusimamia...

DK.BITEKO AMPONGEZA MWANAFUNZI ALIYEELEZEA MIRADI YA UMEME

*Amuahidi kutembelea mradi wa Julius Nyerere Dar es Salaam NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameagiza Mwanafunzi Mirabelle Msukari na Wenzake wa...

WAZIRI MKUU AKUTANA NA BALOZI WA UMOJA WA ULAYA NCHINI.

▪️Pia ateta na Balozi wa Jamhuri ya Korea ▪️Awaahidi kuendeleza ushirikiano Dar es Salaam WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Februari 18, 2025 amefanya mazungumzo na Balozi...

BENKI YA DUNIA IMEPATIA ZANZIBAR DOLA MILIONI 100 KWAAJILI YA KUIMARISHA SEKTA YA AFYA

Zanzibar BENKI ya Dunia Imeipatia Zanzibar Kiasi cha Dola Milioni 100 kwa ajili kuimarisha Miundombinu ya Sekta ya Afya hapa nchini. Mkurugenzi Muendeshaji wa Benki...

DAWASA YAWAFUNDA WENYEVITI WA MITAA USIMAMIZI HUDUMA ZA MAJI

Dar es Salaam MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Saad Mtambule amezitaka taasisi zinazofanya kazi ndani ya wilaya hiyo kuiga mfano wa Mamlaka ya...

RAIS DK. MWINYI: SERIKALI ITAENDELEA KUUNGA MKONO HARAKATI ZA UWAWAZA

Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itaendelea Kuunga mkono Harakati za Jumuiya ya Wawakilishi...