Zaidi ya shilingi bilioni 107 zakamilisha usambazaji umeme vijijini Simiyu

📌Kapinga asema sasa Serikali inapeleka umeme kwenye Vitongoji 638 📌Ataja miradi ya kuimarisha umeme Simiyu 📌 Simiyu yapata mitungi ya gesi 16,275 kwa bei ya ruzuku Na...

Rais Dk.Samia: mwelekeo ni elimu ya ujuzi kwa vijana kumudu soko la ajira

Na Mwandishi wetu, Simiyu RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ya CCM anayoiongoza, imechukua hatua madhubuti katika kuweka mwelekeo wa elimu itakayotoa ujuzi...

Rais Dk. Mwinyi atunukiwa tuzo ya Mhamasishaji bora wa uwekezaji

Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk. Hussein Ali Mwinyi, ametunukiwa Tuzo Maalum ya kuwa Mhamasishaji Bora wa Sekta ya...

Meatu mtaendelea kupata miradi mikubwa ya maendeleo ikiwemo nishati-Dk. Samia

📌Asema baada ya Vijiji vyote Meatu kupata umeme kasi inaelekea vitongojini 📌 Ataka umeme utumike kuongeza thamani ya mazao, kilimo na ufugaji. Mwandishi Wetu, Geita RAIS Dk....

Majaliwa: tunataka TET iwe kitovu cha ubora katika uandaaji wa mitala

Dar es Salaam WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali itaendelea kuiimarisha Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) ili ifikie maono ya kuwa kitovu maridhawa...

Rais Dk.Samia azindua Hospitali ya zaidi ya shilingi bilioni 4,Wananchi wampa tano

Simiyu RAIS Dk.Samia Suluhu Hassan leo Juni, 17 2025 amezindua Hospitali ya Wilaya ya Itilima iliyogharimu shilingi bilioni 4.7 iliyojumuisha ujenzi wa miundombinu na ununuzi...

Rais Dk.Mwinyi: Benki ya Dunia endeleeni kuiunga mkono Zanzibar katika kutekeleza miradi

Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameishauri Benki ya Dunia kuendelea kuiunga mkono Zanzibar katika kutekeleza miradi...

Rais Dk.Mwinyi: SMZ itaendelea kuimarisha utumishi wa umma

Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali ya Mapinduzi itaendelea kuimarisha utumishi wa umma...

Rais Dk. Samia awataka wakulima wa pamba kukaa mguu sawa

*Asema Serikali imeamua kuliinua zao hilo ili kukuza uchumi Simiyu RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amezindua viwanda viwili cha Pamba na Mabomba mkoani Simiyu huku...

Majaliwa: Wakuu wa Mikoa hamasisheni wananchi kutumia huduma za msaada wa kisheria

Dar es Salaam WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa wakuu wa mikoa na wilaya nchini kuhakikisha wanaendelea kuhamasisha wananchi kutumia huduma ya kisheria...