Serikali yafungua milango ya fursa kwa wakulima wa mwani
Na Mwandishi wetu, Tanga
SERIKALI imewataka wakulima wa mwani nchini kutumia mbinu bora na za kisasa za kilimo ili kuongeza uzalishaji wa zao hilo na...
Elimu ya Nishati safi ya kupikia yawafikia wanawake Mkoani Mbeya
📌 Ni kupitia Kongamano la Wanawake na Fursa za Kiuchumi
📌 Wizara ya Nishati yasisitiza matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia ili kulinda afya na...
Dk.Biteko azindua programu ya uatoaji wa majiko ya umeme kwa bei ya ruzuku ...
📌 Takribani Majiko 11,000 kutolewa kwa wafanyakazi kwa bei ya ruzuku kupitia mfuko wa mzunguko
📌 Asisitiza programu hiyo ya TANESCO ni uthibitisho wa jitihada...
Ujenzi wa Bwawa la kufua umeme la Mto Malagarasi, wapiga hatua mpya
📌Mto wachepushwa ili kujenga tuta la kufulia Umeme
📌Kasi yapamba moto kukamilisha Mradi
Na Mwandishi wetu,
UJENZI wa Mradi wa Bwawa la kufua umeme kwa maji kupitia...
Zanzibar Yachota Uzoefu Dodoma: Yajiandaa Kujenga Mji wa Serikali Kisakasaka
Kamati ya wataalamu kutoka Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Ikiingozwa na Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Dk. Islam Seif...
Waziri Mkuu amwakilisha Rais Dk.Samia mazishi ya Hayati Ndugai
Asema aliimarisha ushirikiano kati ya Bunge na Serikali
Atoa rai kwa Watanzania kuenzi mema yote aliyoyafanya enzi za uhai wake
Na Mwandishi wetu, Dodoma
WAZIRI...
Mombokaleo aipongeza Wizara ya Uchukuzi kwa ubunifu
Na Mwandishi wetu, Dodoma
MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Abdul Mombokaleo ameipongeza Wizara ya Uchukuzi na taasisi zake...
Wakulima na wafugaji kuchangamkia fursa za bima ya kilimo ili kulinda uwekezaji wao
 Na Esther Mnyika, DodomaÂ
WAKULIMA na Wafugaji nchini wametakiwa kuchangamkia fursa ya bima za kilimo na mifugo ili kulinda uwekezaji wao dhidi ya majanga yanayoweza...
LATRA yaanza kutoa vibali vya usafiri wa waya kuchochea shughuli za utalii nchini
Na Esther Mnyika, Dodoma
MKURUGENZI wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA),CPA Habibu Suluo amesema wameanza kutoa vibali eneo ambalo ni jipya la...
Rais Dk.Samia aipongeza TADB kwa utendaji mzuri
Na Esther Mnyika, Dodoma
RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan ameipongeza Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania ( TADB) Kwa utendaji mzuri ulioleta tija kwa...












