VITA GOMA VYAKUTANISHA ASASI ZA KIRAI DAR

Dar es Salaam ASASI za Kiraia kutoka nchi za Maziwa Makuu zimeshauri nchi za Afrika kuungana pamoja kuhakikisha vita vinavyoendelea katika mji wa Goma...

RAIS DK. MWINYI: WAFANYABIASHARA KUJIANDAA NA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI NA KUFANYA BIASHARA KWA...

Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amewahimiza Wafanyabiashara kujiandaa na Mwezi Mtukufu wa Ramadhani na kufanya...

KITUO CHA KUPOZA UMEME CHA UHURU WILAYANI URAMBO KIMEKAMILIKA – KAPINGA

📌 Kinalenga kuboresha hali ya upatikanaji umeme Urambo na maeneo mengine Dodoma NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema ujenzi wa kituo cha kupokea na...

UCHAMBUZI WA MIFUMO WABAINI TAASISI ,OFISI NA IDARA KUNA UPOTEVU NA UFUJAJI WA FEDHA...

Dar es salaam TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Kinondoni imesema katika kipindi cha mwezi Oktoba hadi Desemba 2024 wamefanya uchambuzi wa mifumo...

DK. MPANGO ASHIRIKI IBADA YA KUAGA MWILI WA MAMA MZAZI WA WAZIRI MKENDA

Kilimanjaro MAKAMU wa Rais Dk. Philip Mpango na Mwenza wake Mama Mbonimpaye Mpango leo Februari,6 2025, wameungana na viongozi na wananchi mbalimbali katika Ibada...

TUTAENDELEA KUJIIMARISHA KIUCHUMI-MAJALIWA

Ampongeza Rais Dk. Samia kwa kuendeleza mahusiiano ya Kimataifa Dodoma  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali itahakikisha inajiimarisha katika kukuza uchumi wake kwa kutumia rasilimali...

MGODI WA NDOLELA MWANGA MPYA KWA WANANCHI

• Waanza ujenzi wa Zahanati kuondoa kero kwa wananchi • Wasaidia upatikanaji wa urahisi wa kokoto katika marekebisho ya ujenzi wa barabara ya Iringa, Dodoma Iringa MGODI...

WANANCHI WATAKIWA KUTUMIA FURSA YA MIRADI KUUNGANISHA UMEME – KAPINGA

📌 Lengo ni wananchi kuepuka gharama inayotokana na kuunganisha umeme wakati miradi imekamilika Dodoma NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ametoa rai kwa wananchi...

RAIS DK.SAMIA : DUNIA IMETAMBUA JITIHADA ZA TANZANIA KATIKA SEKTA YA AFYA

Dodoma MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa Tuzo Maalum ya Kimataifa...

MAPOKEZI YA RAIS DK.SAMIA DODOMA NA TUZO YA GATES

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amewasili na kupokelewa na Viongozi mbalimbali pamoja na wananchi kwenye uwanja wa ndege...